Availability: Out of Stock

BUNGABUNGA NA MWANAWE NA HADITHI NYINGINE

SKU: 9780996671750

Katika hiki Kitabu cha Bungabunga na mwanawe, mna hadithi fupi fupi ambazo zitaangazia wanafunzi mengi kuhusu lugha ya Kiswahili. Hiki kitabu kimetungwa kusaidia mwanafunzi kujifunza Kiswahili katika hali ya kujiburudisha. Kuna mengi ya kujifunza toka lugha, msamiati na hata utumishi wa misemo na methali. Mitindo tofauti ya ubunifu iliyotumiwa itawezesha mwanafunzi kuelewa mengi.

ISBN : 9780996671750

Published : N/A

Author : Michelle Makena

Language : Swahili

Main Material : Paperback

Publisher : SmartzBrains Publication

Size :

Weight : N/A